Nifanyeje ikiwa mtu katika familia yangu anataka kushiriki ngono na mimi

From Audiopedia - Accessible Learning for All
Jump to: navigation, search
QR for this page

https://www.audiopedia.org/Nifanyeje_ikiwa_mtu_katika_familia_yangu_anataka_kushiriki_ngono_na_mimi

Sio sawa kwa mtu kukushika ikiwa wewe hutaki kushikwa. Watu wa familia moja kama vile binamu, mjomba, ndugu au baba, hawafai kushika sehemu zako za siri au sehemu yoyote ya mwili wako kuashiria kujamiiana.

Tafuta usaidizi ikiwa hili litafanyika.

Hata kama mwanaume huyo atakuambia kuwa atakudhuru ukimshtaki, lazima umwambie mtu ambaye unamwamini haraka iwezekanavyo. Wakati mwingine ni vyema kumwambia mtu ambaye sio wa familia yako, kama vile mwalimu wako wa kike au kiongozi wa kidini katika eneo lako.

Sources
  • Burns, A. A., Niemann, S., Lovich, R., Maxwell, J., & Shapiro, K. (2014). Where women have no doctor: A health guide for women. Hesperian Foundation.
  • Audiopedia ID: sw020816