Wakati upi nitakapo ACHA kutumia kidonge na nimuone mhudumu wa afya
From Audiopedia - Accessible Learning for All
QR for this page
ACHA kutumia kidonge na umuone mhudumu wa afya ikiwa:
* utakuwa na maumivu makali ya kichwa na Kiwaa ( migraines ) kinachoanza baada ya kumeza kidonge.
Ikiwa uko na matatizo haya, mimba inaweza pia kuwa hatari, hivyo basi tumia mbinu nyingine ya upangaji uzazi kama vile kondomu hadi pale utakapomuona mhudumu wa afya aliye na ujuzi wa masuala ya mbinu za homoni za upangaji uzazi.